Mgombea wa kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Bernard Membe akiongozana na Mgombea Mwenza Profesa Omary Fakiyi, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Agosti 07, 2020 katika Makao Makuu ya Tume ya Uchaguzi (NEC) Dodoma.
More Stories
Ushetu yatoa zabuni za sh.90.48 kwa makundi Maalum
Kahama yatenga sh. bilioni 1.9 kwa zabuni za makundi maalum
Mhitimu asiyeona aeleza mafanikio ya useremala VETA