Mgombea wa kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Bernard Membe akiongozana na Mgombea Mwenza Profesa Omary Fakiyi, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Agosti 07, 2020 katika Makao Makuu ya Tume ya Uchaguzi (NEC) Dodoma.
More Stories
Wananchi watakiwa kujenga tabia ya kufanya mazoezi
Ujuzi wa vitendo nguzo ya kujitegemea
Mahundi ahimiza ushiriki kujenga,kulinda miradi