Mgombea wa kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Bernard Membe akiongozana na Mgombea Mwenza Profesa Omary Fakiyi, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Agosti 07, 2020 katika Makao Makuu ya Tume ya Uchaguzi (NEC) Dodoma.
More Stories
Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya madini
Matindi: Ufanisi utaleta matokeo chanya sekta ya anga
Dkt. Kikwete awataka wahitimu UDSM kuwa mabalozi wazuri