Mgombea wa kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Bernard Membe akiongozana na Mgombea Mwenza Profesa Omary Fakiyi, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Agosti 07, 2020 katika Makao Makuu ya Tume ya Uchaguzi (NEC) Dodoma.
More Stories
Prof.Muhongo aeleza mikakati kuwapata Wataalamu wa STI
Mafuriko yasababisha wananchi kukwama kwa saa kadhaa Mwanza
CHADEMA yazidi kuwaka moto,Mchome amtaka Lissu akubali kukosolewa