Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Balozi wa Tanzania nchini Austria, Mhe. Celestine Joseph Mushy amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Austria, Mhe. Alexander Van der Bellen, leo tarehe 05 Mei 2022

Januari 2022, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alimteua Balozi Mushy kuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria.

More Stories
Airtel  yaimarisha ushirikiano  wa Airtel Business Monthly Mug TournamentÂ
GF yaahidi kuendelea kuunga mkono maono ya Serikali
Mwanasheria Mkuu wa Serikali awataka TPBA kuwa wabunifu