April 30, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe

ACT-Wazalendo yapinga matokeo jimbo la Konde

ACT-Wazalendo yapinga
matokeo jimbo la Konde

Na Mwandishi Wetu,TimesMajira,Online

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimepita matokeo ya uchaguzi mdogo katika Jimbo la Konde yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Uchaguzi wa Jimbo la Konde ulifanyika jana (Julai 18, 2021) ambapo taarifa ya chama hicho iliyotolewa leo a kwenye vyombo vya habari na kusainiwa na Kaimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar,ACT Wazalendo, Salim A. Bimani ilieleza kwamba matokeo hayo yamepikwa.

Chama hicho, kilisema Kamati ya Uongozi Taifa inakutana kwa dharura kujadili suala hilo.