ACT-Wazalendo yapinga
matokeo jimbo la Konde
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira,Online
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimepita matokeo ya uchaguzi mdogo katika Jimbo la Konde yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Uchaguzi wa Jimbo la Konde ulifanyika jana (Julai 18, 2021) ambapo taarifa ya chama hicho iliyotolewa leo a kwenye vyombo vya habari na kusainiwa na Kaimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar,ACT Wazalendo, Salim A. Bimani ilieleza kwamba matokeo hayo yamepikwa.
Chama hicho, kilisema Kamati ya Uongozi Taifa inakutana kwa dharura kujadili suala hilo.
More Stories
Breaking News: Rais Samia afanya uteuzi
Breaking News: Makalla achukua mikoba ya Makonda
Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha