Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),Ummy Nderiananga, amewasilisha salamu za pole kwa niaba ya Serikali kwa familia ya William Lukuvi kufuatia msiba wa mdogo wake, Mtwa Xavier Lukuvi.
Ibada ya mazishi imefanyika tarehe 7 Juni 2025 katika Kijiji cha Mapogoro, Iringa Vijijini na kuhudhuriwa na viongozi wa chama, wananchi wa Jimbo la Isimani pamoja na ndugu wa marehemu.









More Stories
Safiri nchi 190 ukiwa umeunganishwa na Kwetu eSIM
Devotha ataka mali kusajiliwa dhamana ya mikopo
Yas yawashika mkono mama wajawazito Hospitali ya Ubungo