Profesa Joyce Ndalichako akipokea fomu za kuomba kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kugombea ubunge katika Jimbo la Kusulu Mjini mwishoni mwa wiki. Uchaguzi wa madiwani, wabunge na urais unatarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Na mpiga picha wetu.
More Stories
Rais Samia kuhutubia jukwaa la Nishati safi ya kupikia Afrika
Ilemela yakusanya asilimia 68 makisio ya bajeti 2023/2024
Kanisa la KKKT wazindua shule ya awali na Msingi