Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama ametoa orodha ya nyimbo zake pendwa ambapo wimbo ‘Smile’ wa wizkidayo kutoka Nigeria ni miongoni mwa nyimbo hizo 53. Nyimbo nyingine ni za Beyonce, Rihanna, Nas, J. Cole, Nina Simone na Frank Ocean.
Bwana Obama amesema kuwa baadhi ya nyimbo hizo zitachezwa wakati wakongamano la kitaifa la chama chaDemocratic cha wiki hii ambalo lilifunguliwa jana usiku.

More Stories
Kapinga:Taka sifuri kukuza sekta ya viwanda
JWTZ ,Majeshi EAC yaimarisha ushirikiano
Migogoro na uhamishaji  janga lakisiasa, kibinadamu barani Afrika