Mgombea wa kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Bernard Membe akiongozana na Mgombea Mwenza Profesa Omary Fakiyi, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Agosti 07, 2020 katika Makao Makuu ya Tume ya Uchaguzi (NEC) Dodoma.
More Stories
NIRC yatumia wiki ya utumishi kuelimisha
VETA yapongezwa kutoa mafunzo kwa wenye mahitaji maalum
Waomba kujengewa kituo cha polisi