Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Samia Suluhu Hassan leo August 02,2024 ameanza Ziara ya Kikazi Mkoani Morogoro ambapo mapema asubuhi amezindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo Mkoani humo ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.8.
More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an