Wasanii mbalimbali wakitumbuiza wakati wa hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais John Magufuli maalumu kwa ajili ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM waliotembelea ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Pia Rais Magufuli alitumia fursa hiyo kuwapatanisha Ali Kiba na Diamond Platnumz ambao katika hafla hiyo walikaa meza moja.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA











More Stories
Burudani zapamba utambulisho wa ‘Fanta Berry’ nchini
Chief Hangaya Festival kufanyika Aprili 19,2026
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030