Wasanii mbalimbali wakitumbuiza wakati wa hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais John Magufuli maalumu kwa ajili ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM waliotembelea ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Pia Rais Magufuli alitumia fursa hiyo kuwapatanisha Ali Kiba na Diamond Platnumz ambao katika hafla hiyo walikaa meza moja.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA










More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”