Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 93
More Stories
Gwajima aomba bilioni 67.9 bajeti ya Wizara yake 2024/25
Uwepo wa Kimbunga “IALY” katika bahari ya Hindi Kaskazini Mwadagascar
TMDA yatoa Tuzo kwa waandishi wa habari