Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 768
More Stories
RFBÂ yatoa elimu kwa wananchiÂ
WRRB yatoa fursa mpya kwa wafugaji
Mabalozi wasafiri kwa SGR kushiriki Grand Bunge Bonanza