Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 467
More Stories
Yas yazidi kuboresha huduma sekta ya Utalii
ZOLA yajipanga kupeleka Nishati Safi kwa Watanzania, yaunga Mkono Juhudi za Rais Samia
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi