Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuhamisha Dr. Batilda Salha Burian kutoka Mkoa wa Tabora kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga akichukua nafasi ya Waziri Kindamba.
Rais Samia pia amemteua aliyekuwa DC wa Misungwi Paul Chacha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora akichukua nafasi ya Dr. Batilda.

More Stories
Auto Login: Urahisi Unaoweza Kuhatarisha Faragha na Usalama Wako Mtandaoni
Notifications: Teknolojia Muhimu Katika Maisha ya Kidijitali
No Reforms, No ElectionsJe, Ni Harakati Halali au Usumbufu wa Kidijitali? Kauli Yachambuliwa