Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akifungua Kikao Kazi cha Kuhuisha Mwongozo wa Maadhimisho na Sherehe za Kitaifa wa Mwaka 2011 na Mwongozo wa Ziara za Viongozi wa Kitaifa Mikoani wa Mwaka 2011 kilichofanyika tarehe 26 Februari, 2024 Jijini Dodoma
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao hicho, amewakumbusha kuzingatia ufanisi na weledi huku wakizingatia kanuni na taratibu za utumishi katika kuandaa miogozo hiyo.





More Stories
Prof.Muhongo aeleza mikakati kuwapata Wataalamu wa STI
Mafuriko yasababisha wananchi kukwama kwa saa kadhaa Mwanza
CHADEMA yazidi kuwaka moto,Mchome amtaka Lissu akubali kukosolewa