Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM. Post Views: 1,092 Continue Reading Previous Wanafunzi St Mary’s waonyesha vipaji vya aina yakeNext BREAKING NEWS: Makonda tena CCM, achukua nafasi yake ya zamani, ni ile ya Mjema More Stories Habari TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu June 6, 2025 Penina Malundo Habari Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka June 6, 2025 Penina Malundo Habari Flightlink kuzindua Safari za Ndege za Kila Siku kwenda Nairobi wiki ijayo June 6, 2025 Penina Malundo
More Stories
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka
Flightlink kuzindua Safari za Ndege za Kila Siku kwenda Nairobi wiki ijayo