Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM. Post Views: 343 Continue Reading Previous Wanafunzi St Mary’s waonyesha vipaji vya aina yakeNext BREAKING NEWS: Makonda tena CCM, achukua nafasi yake ya zamani, ni ile ya Mjema More Stories 2 min read Habari Wekeza katika utafiti kuchochea maendeleo – Dkt. Biteko May 18, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari RC. Mtambi akemea tabia ya watumishi wasiotoa taarifa kwa waandishi wa habari May 17, 2024 Judith Ferdnand 3 min read Habari Dkt.Mwinyi: CRDB imesaidia kuimarisha uchumi wa bluu May 17, 2024 Judith Ferdnand
More Stories
Wekeza katika utafiti kuchochea maendeleo – Dkt. Biteko
RC. Mtambi akemea tabia ya watumishi wasiotoa taarifa kwa waandishi wa habari
Dkt.Mwinyi: CRDB imesaidia kuimarisha uchumi wa bluu