Na mwandishi wetu, TimesMajira Online




Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akimkabidhi Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Chen Mingjian kitabu cha historia ya mikusanyo yenye asili ya China ilioyopatikana Tanzania na inayohifadhiwa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni alipotembelea Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam.


More Stories
NIRC yatumia wiki ya utumishi kuelimisha
VETA yapongezwa kutoa mafunzo kwa wenye mahitaji maalum
Waomba kujengewa kituo cha polisi