Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
MTENDAJI Mkuu wa Klabu ya Yanga, Senzo Mbatha, ameweka wazi mchakato wa kuelekea kwenye mabadiliko ndani ya timu hiyo kuwa, unaendelea vizuri na ambacho kipo kwa sasa ni kuweza kukamilisha suala zima la uchaguzi.
Hata hivyo, amebainisha kuwa jambo ambalo linatazamwa kwa ukaribu kabla ya uchaguzi ni kukamilika kwa usajili wa matawi na wale ambao watakamilisha usajili wao watakabidhiwa vyeti.
More Stories
Magwiji 27 wafuzu raundi ya tatu mashindano ya kumuenzi Lina
Mafanikio Wizara ya Ulinzi kwenye michezo miaka 60 ya muungano
Mbunge Bonnah agawa jezi za mashindano ya Bonah Cup 2024