Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Dodoma alipokua akitokea Zanzibar alikohudhuria Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba leo tarehe 12 Januari 2022.
PICHA NA IKULU
More Stories
Miaka 20 jela kwa kuhujumu TANESCO
Mfumo wa e-Board umeboresha uendeshaji vikao Ilemela
SOS Children’s Villages yawezesha ujenzi ofisi Dawati la Jinsia Nyamagana