
Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa Mpya wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania Mhe.Ricardo Amrosio Mtumbuida wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo akiwepo na Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Msumbiji ayefanyia kazi Zanzibar Mhe.Agostino Abacar Trinta (kushoto).Picha na Ikulu


Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akibadilishana mawazo na mgeni wake Balozi wa Mpya wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania Mhe.Ricardo Amrosio Mtumbuida baada ya mazungumzo wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo.
More Stories
Rais Samia aomboleza kifo cha Papa Francisko
Papa Francis afariki Jumatatu ya Pasaka akiwa na miaka 88
Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa lakanusha ripoti ya Le Parisie