Spika wa Bunge, Job Ndugai, (wapili kutoka kushoto) akiwa na ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) nyumbani kwake mjini Dodoma. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi wa TADB, Ishmael Kasekwa, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Frank Nyabundege, na Mkurugenzi wa Fedha wa TADB, Derick Lugemala. Ndugai alimpongeza, Nyabundege kwa kuteuliwa hivi karibuni kushika nafasi hiyo na kuahidi ushirikiano wa Bunge kwa benki hiyo katika kuendeleza sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi nchini. Na mpiga picha wetu.
More Stories
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025
Yas yazidi kuboresha huduma sekta ya Utalii