Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
MKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, amemuapisha Nickson Simon maarufu kama ‘Nikki wa Pili’ kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe akichukua nafasi ya Jokate Mwegelo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
Zoezi la kuapishwa limefanyika leo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani iliyopo Kibaha.

More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako