Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Morogoro
ALIYEKUWA Mjumbe wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Bakari Machumu (pichani), ameshinda nafasi hiyo dhidi ya mpinzani wake Joyce Shebe, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo.
Machumu ampata kura 53 na Shebe kura 26 ambapo idadi ya wapiga kura ilikuwa 79 katika uchaguzi unaofanyika mkoani Morogoro, katika Ukumbi wa Nashera.
More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an