Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda(kulia), na aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (kushoto) wakipita katika mashine maalumu ya kitakasa mwili baada ya kukabidhi vifaa vya kupambana na COVID-19, makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Prona Mumwi)
More Stories
Benki ya TCB, Kampuni ya Metro Life Assurance wazindua Bima Benki
Lalji foundation yatoa msaada wa viungo bandia hospitali ya CCBRT
Wadau waombwa kutengeneza mifumo ya utoaji taarifa za watoto bila hofu