Barozi wa Papa Francins nchini Tanzania , Askofu mkuu Marek Solczynski akiwa wasaha mshumaa wa Pasaka mwanzo wa ibada ya usiku wa Pasaka nje ya kanisa kuu la Mtakatifu Karoli Lwanga jimbo Katoliki la Kahama alipoadhimisha ibada hiyo kushoto ni Paroko wa kanisa hilo Padri Salvatore Guerera .Picha na Patrick Mabula.
More Stories
Mwongozo wa kitaifa kwa watoa huduma za maendeleo ya biashara wazinduliwa
Zanzibar ipo tayari kupokea wawekezaji wa ndani na nje ya nchi
Elimu ya kilimo tija yawafikia wakulima mikoa mitano.