Barozi wa Papa Francins nchini Tanzania , Askofu mkuu Marek Solczynski akiwa wasaha mshumaa wa Pasaka mwanzo wa ibada ya usiku wa Pasaka nje ya kanisa kuu la Mtakatifu Karoli Lwanga jimbo Katoliki la Kahama alipoadhimisha ibada hiyo kushoto ni Paroko wa kanisa hilo Padri Salvatore Guerera .Picha na Patrick Mabula.
More Stories
Wanawake jumuia ya kikristo Tanzania CCT wafundana kuelekea siku ya Wanawake Duniani
Dkt.Tulia,Mwalunenge waungana kutatua changamoto ya barabara
TUCASA yaomba kuanzishwa sheria malipo sekta ya ujenzi