Barozi wa Papa Francins nchini Tanzania , Askofu mkuu Marek Solczynski akiwa wasaha mshumaa wa Pasaka mwanzo wa ibada ya usiku wa Pasaka nje ya kanisa kuu la Mtakatifu Karoli Lwanga jimbo Katoliki la Kahama alipoadhimisha ibada hiyo kushoto ni Paroko wa kanisa hilo Padri Salvatore Guerera .Picha na Patrick Mabula.
More Stories
Mwandishi wa habari mbaroni kwa kujifanya Ofisa usalama wa Taifa
JMAT yawafunda viongozi wa dini
Kaya zazingirwa na maji Rukuba kisiwani