Barozi wa Papa Francins nchini Tanzania , Askofu mkuu Marek Solczynski akiwa wasaha mshumaa wa Pasaka mwanzo wa ibada ya usiku wa Pasaka nje ya kanisa kuu la Mtakatifu Karoli Lwanga jimbo Katoliki la Kahama alipoadhimisha ibada hiyo kushoto ni Paroko wa kanisa hilo Padri Salvatore Guerera .Picha na Patrick Mabula.
More Stories
WRRB Yapongezwa kwa Maandalizi ya Mnada wa Mifugo
DC Tabora, kigoma waitaka ewura ihamasishe wananchi
Balozi Omar:TADB iwekeze kimkakati kukuza kilimo