Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza na baadhi ya watendaji wa Ofisi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Mkuranga alipofanya ziara leo, ambapo amewataka kubuni mbinu mpya za kuongeza idadi ya watalii katika eneo la misitu wanalomiliki. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akiwa ameongozana na Kamishna Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. Dos Santos Silayo kukagua eneo lililopandwa miche ya miti iliyo kwenye Ofisi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Mkuranga alipofanya ziara ya kikazi katika ofisi hiyo.Wengine ni baadhi ya watumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS). Mhifadhi wa Misitu Wilaya ya Mkuranga wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS),Charles Kaselya (kushoto) akitoa maelezo ya utekelezaji wa majukumu ya ofisi yake wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja (Mb)(katikati) leo Wilaya ya Mkuranga. Kulia ni Kamishna Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. Dos Santos Silayo7 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii , Mary Masanja (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Wilaya ya Mkuranga. Wengine ni Kamishna Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof.Dos Santos Silayo (katikati) na Mhifadhi wa Misitu Wilaya ya Mkuranga Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Charles Kaselya (wa pili kulia). Post Views: 785 Continue Reading Previous Habari katika pichaNext Waziri Mulamula akutana na ujumbe maalum kutoka Falme za Kiarabu More Stories 2 min read Habari Maadhimisho siku ya nyuki Duniani ni fursa adhimu kiuchumi May 19, 2024 Penina Malundo 3 min read Habari NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania May 18, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF May 18, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Maadhimisho siku ya nyuki Duniani ni fursa adhimu kiuchumi
NMB ‘yafunga ndoa’ na wanawake wanaomiliki shule, vyuo Tanzania
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF