Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakazi wa shina namba 3 Tawi la Kagasha, Kata ya Kabitembe, Muleba ikiwa sehemu ya ziara yake pamoja wa Wajumbe wa Sekretarieti wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoani Kagera.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Muleba Ndugu Athumani Kahara akiyoa ufafanuzi kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa madarasa ya Shule ya Sekondari ya Kabitembe katika kata ya Kabitembe kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Muleba Ndugu Toba Nguvila ikiwa sehemu ya ziara yake pamoja wa Wajumbe wa Sekretarieti wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoani Kagera ya kukagua, kuhamasisha na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akishiriki ujenzi wa madarasa ya shule ya Kabitembe pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Charles Mbuge ikiwa sehemu ya ziara yake pamoja wa Wajumbe wa Sekretarieti wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoani Kagera ya kukagua, kuhamasisha na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.
More Stories
Dkt.Biteko:Wananchi someni taarifa za nishati kutoka EWURA
Masauni afanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya NEMCÂ
Waumini Kanisa la KKAM waipeleka Mahakamani bodi ya wadhamini KKKT