Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Kada wa Chama Cha Mapinduzi CCM ,Fernando Wolle achukua fomu ya Ubunge na Kurejesha Katika Jimbo la Kibakwe Wilaya ya Mpwapwa Jijini Dodoma.
Wolle anatarajiwa kumkabili George Simbachawene ambaye anatetea nafasi yake.
Post Views: 462
More Stories
EWURA yatangaza bei ya mafuta
Msajili wa Hazina akutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa EADB
Tanzania mwenyeji wa Mkutano wa 153 wa Umoja wa Mabunge Duniani