Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Kada wa Chama Cha Mapinduzi CCM ,Fernando Wolle achukua fomu ya Ubunge na Kurejesha Katika Jimbo la Kibakwe Wilaya ya Mpwapwa Jijini Dodoma.
Wolle anatarajiwa kumkabili George Simbachawene ambaye anatetea nafasi yake.
Post Views: 442
More Stories
Washindi ‘kila muamala bao la ushindi’ waendelea kupeta
TMA yaeleza faida taarifa hali ya hewa
Wananchi wapata elimu ubora,usalama na bidhaa