Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Kada wa Chama Cha Mapinduzi CCM ,Fernando Wolle achukua fomu ya Ubunge na Kurejesha Katika Jimbo la Kibakwe Wilaya ya Mpwapwa Jijini Dodoma.
Wolle anatarajiwa kumkabili George Simbachawene ambaye anatetea nafasi yake.
Post Views: 474
More Stories
Wakulima wa Mwani Zanzibar kunufaika huduma za kidijitali
Makundi maalum Lindi waaswa kuchangamkia fursa
Kawaida: Ulinzi wa miundombinu usisubiri vyombo vya dola