Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Kada wa Chama Cha Mapinduzi CCM ,Fernando Wolle achukua fomu ya Ubunge na Kurejesha Katika Jimbo la Kibakwe Wilaya ya Mpwapwa Jijini Dodoma.
Wolle anatarajiwa kumkabili George Simbachawene ambaye anatetea nafasi yake.
Post Views: 456
More Stories
Kapinga amwezesha mwenye ulemavu Mashine kusaga viungo
Dkt.Latifa:Sabasaba yafungua milango ya masoko ya Kimataifa
TCAA yaimarisha dawati huduma kwa Wateja