Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Kada wa Chama Cha Mapinduzi CCM ,Fernando Wolle achukua fomu ya Ubunge na Kurejesha Katika Jimbo la Kibakwe Wilaya ya Mpwapwa Jijini Dodoma.
Wolle anatarajiwa kumkabili George Simbachawene ambaye anatetea nafasi yake.
Post Views: 427
More Stories
Milioni 299 kutumika kujenga ofisi za kata
Mtanda asisitiza matumizi ya takwimu serikalini
Maofisa Habari watakiwa kuhabarisha taarifa sahihi