Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa alipotembelea banda la shirika la Amref Tanzania katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi, katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani. Kwa miaka zaidi ya thelathini (30) sasa, shirika la Amref limekuwa likishirikiana na serikali ya Tanzania pamoja na wadau ikiwemo PEPFAR-CDC, USAID pamoja na Global Fund.
More Stories
Mkomi Aridhishwa na Utendaji wa PSSSF
Matumizi magari ya umeme kuongeza umuhimu gesi asilia
Serikali yataka ulinzi,uwezeshaji wajane