Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa alipotembelea banda la shirika la Amref Tanzania katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi, katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani. Kwa miaka zaidi ya thelathini (30) sasa, shirika la Amref limekuwa likishirikiana na serikali ya Tanzania pamoja na wadau ikiwemo PEPFAR-CDC, USAID pamoja na Global Fund.
More Stories
Sh.400 mil ,kukarabati makazi ya wazee
PPRA yashinda Tuzo, yaahidi kuendelea kuhudumia wananchi
Dkt.Mwinyi awahimiza Wafanyabiashara kutumia fursa za Masoko