Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa afanya ziara katika maonesho ya 47 ya biashara Kimataifa, SabaSaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam, Pichani akiwa katika banda la Wizara ya Madini.



Matukio Katika Picha; Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa afanya ziara katika maonesho ya 47 ya biashara Kimataifa, SabaSaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam, Pichani akiwa katika banda la Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.


More Stories
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka