Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa afanya ziara katika maonesho ya 47 ya biashara Kimataifa, SabaSaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam, Pichani akiwa katika banda la Wizara ya Madini.



Matukio Katika Picha; Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa afanya ziara katika maonesho ya 47 ya biashara Kimataifa, SabaSaba yanayoendelea Jijini Dar es Salaam, Pichani akiwa katika banda la Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.



More Stories
Madaktari Mloganzila wanufaika na mafunzo maalum ya tiba za mifupa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Simbu kung’ara Mbio za Wakili Marathon 2026
CCM yatoa salamu nzito kwa Samia-Butiama