Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 05, 2023 amewajulia hali majeruhi wa maafa ya mafuriko yaliyosababisha kuporomoka kwa tope na mawe kutoka mlima Hanang, Katesh Mkoani Manyara. Majeruhi hao wanapatiwa matibabu bure na Serikali katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa manyara.
More Stories
Mchengerwa afurahishwa na utendaji wa Meya Kumbilamoto
Dkt.Biteko:Wazazi msiwahusishe watoto kwenye migogoro yenu
Waziri Lukuvi amuwakilisha Rais Samia Tabora