Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 05, 2023 amewajulia hali majeruhi wa maafa ya mafuriko yaliyosababisha kuporomoka kwa tope na mawe kutoka mlima Hanang, Katesh Mkoani Manyara. Majeruhi hao wanapatiwa matibabu bure na Serikali katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa manyara.
More Stories
Kampuni ya Algeria kuwekeza viwanda vya korosho Tanzania
Nombo: Tanzania yaandaa vijana kushindana kimataifa
Teknolojia yaibua fursa mpya kwa wanafunzi Wasioona