Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 05, 2023 amewajulia hali majeruhi wa maafa ya mafuriko yaliyosababisha kuporomoka kwa tope na mawe kutoka mlima Hanang, Katesh Mkoani Manyara. Majeruhi hao wanapatiwa matibabu bure na Serikali katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa manyara.
More Stories
Rais Samia kufungua Mkutano wa TMIC 2026
Watakiwa kumtetea Rais kwa hoja si hisia
Watakiwa kutimiza wajibu waoÂ