Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Mary Masanja akiwa na Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Masoko Makao Mkuu TANESCO Bw.Innocent Lupenza akiwa na Afisa Uhusiano Mkoa wa Geita Bi.Emma Nyaki alipotembelea banda la TANESCO wakati wa maadhimisho ya kilele cha Maonyesho ya Utalii na Biashara yaliyofanyika Agosti 15,2021 wilayani Chato katika viwanja vya Magufuli.Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Mary Masanja akiwa na Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akitoa maelezo mara baada ya kutembelea banda la TANESCO
More Stories
Kamishna Kuji awaapisha Makamishna wapya wa Uhifadhi TANAPA
Kapinga :Zaidi ya nyumba 800 Mtwara kuunganishwa na mfumo wa gesi ya kupikia
Ilemela yatenga milioni 920 kwa ajili ya mikopo ya vikundi