Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Mary Masanja akiwa na Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Masoko Makao Mkuu TANESCO Bw.Innocent Lupenza akiwa na Afisa Uhusiano Mkoa wa Geita Bi.Emma Nyaki alipotembelea banda la TANESCO wakati wa maadhimisho ya kilele cha Maonyesho ya Utalii na Biashara yaliyofanyika Agosti 15,2021 wilayani Chato katika viwanja vya Magufuli. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Mary Masanja akiwa na Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akitoa maelezo mara baada ya kutembelea banda la TANESCO Post Views: 689 Continue Reading Previous CRB: Makandarasi jazeni zabuni kwa kutumia TANePSNext NMB yatoa misaada ya milioni 20 kwa shule za sekondari Dar More Stories Habari Barrick yaichangia Serikali trilioni 3.6 kwa kipindi cha miaka minne February 13, 2025 Penina Malundo Habari Bil 51 zachochea kasi ya maendeleo manispaa Tabora February 13, 2025 Penina Malundo Habari Shaka:Uimara wa Rais Samia ni matokeo chanya unaojali kesho ya nchi February 13, 2025 Penina Malundo
More Stories
Barrick yaichangia Serikali trilioni 3.6 kwa kipindi cha miaka minne
Bil 51 zachochea kasi ya maendeleo manispaa Tabora
Shaka:Uimara wa Rais Samia ni matokeo chanya unaojali kesho ya nchi