Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Mary Masanja akiwa na Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Masoko Makao Mkuu TANESCO Bw.Innocent Lupenza akiwa na Afisa Uhusiano Mkoa wa Geita Bi.Emma Nyaki alipotembelea banda la TANESCO wakati wa maadhimisho ya kilele cha Maonyesho ya Utalii na Biashara yaliyofanyika Agosti 15,2021 wilayani Chato katika viwanja vya Magufuli.Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Mary Masanja akiwa na Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akitoa maelezo mara baada ya kutembelea banda la TANESCO
More Stories
Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa lakanusha ripoti ya Le Parisie
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka