Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Mary Masanja akiwa na Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Masoko Makao Mkuu TANESCO Bw.Innocent Lupenza akiwa na Afisa Uhusiano Mkoa wa Geita Bi.Emma Nyaki alipotembelea banda la TANESCO wakati wa maadhimisho ya kilele cha Maonyesho ya Utalii na Biashara yaliyofanyika Agosti 15,2021 wilayani Chato katika viwanja vya Magufuli. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Mary Masanja akiwa na Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akitoa maelezo mara baada ya kutembelea banda la TANESCO Post Views: 634 Continue Reading Previous CRB: Makandarasi jazeni zabuni kwa kutumia TANePSNext NMB yatoa misaada ya milioni 20 kwa shule za sekondari Dar More Stories 2 min read Habari Jeshi la Polisi laweka wazi mikakati yake kuelekea uchaguzi March 29, 2024 zena chitwanga 3 min read Habari Dkt.Tulia apongezwa kugusa jamii na wenye uhitaji March 28, 2024 zena chitwanga 2 min read Habari PURA yapongezwa usimamizi wa miradi ya CSR March 28, 2024 Penina Malundo
More Stories
Jeshi la Polisi laweka wazi mikakati yake kuelekea uchaguzi
Dkt.Tulia apongezwa kugusa jamii na wenye uhitaji
PURA yapongezwa usimamizi wa miradi ya CSR