Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Sekta ya Madini, kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini Dar es salaam.Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa Sekta ya Madini wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua mkutano huo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
More Stories
Dkt.Batilda:Tumeanza mazungumzo waliotelekeza viwanda wanyang’anywe
TMA:Kuna ongezeko la joto kwa baadhi ya maeneo nchini
Madiwani Kilindi wapongeza RUWASA utekelezaji miradi ya maji