Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Sekta ya Madini, kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini Dar es salaam.Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa Sekta ya Madini wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua mkutano huo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
More Stories
Serikali yaanza kujanga kituo cha kudumu mlipuko wa magonjwa Biharamulo
Kamishna Kuji ahimiza Uadilifu, Ushirikiano kuimarisha Uhifadhi kisiwa cha Rubondo
Yas Tanzania yafuturisha wateja wake Zanzibar