Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Sekta ya Madini, kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini Dar es salaam.Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa Sekta ya Madini wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua mkutano huo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
More Stories
Kamishina TRA avitaka Viwanda viwili Mkuranga kulipa kodi inayostahili
Jimbo la Kibakwe wafanya ibada kuiombea nchi na viongozi wake
Naibu Meya Masaburi apewa uanachama wa heshima umoja wa LITONGO