WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi na Uvuvi, Luhaga Mpina (pichani juu kushoto) akipokea fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo la Kisesa wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu. kulia ni Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Charles Dotto Mazuri leo Julai 15, 2020


More Stories
Serikali yafikia asilimia 90 ya usambazaji umeme Vitongoji Kilimanjaro
Asenga ahoji utaratibu wa kufuata kwa wanaofanya biashara barabarani
Mhandisi Ntemi ahoji upatikanaji gari zimamoto Katoro