WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi na Uvuvi, Luhaga Mpina (pichani juu kushoto) akipokea fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo la Kisesa wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu. kulia ni Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Charles Dotto Mazuri leo Julai 15, 2020

More Stories
RUWASA yaagizwa kufanya utafiti kutoa maji Kinyamwenda kwenda Gairu
RMO,DMO waagizwa kumsimamia Mkurugenzi ununuzi vifaa ,vifaa tiba
Mbunge ahoji ukarabati wa shule kongwe