Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Leo Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellqh Kairuki, amekutana na Bilionea wa Nchini Marekani Paul Tudor Jones ambaye pamoja na kuwekeza sekta ya hoteli na uhifadhi katika eneo la Grumeti, Serengeti hapa nchini ikiwa ni eneo pekee la Afrika linalotembelewa na mastaa wengi wa Marekani wakiwa nchini, pia ni mhifadhi muhimu anayeshirikiana na Serikali kuitangaza nchi.




More Stories
Yas Business,FTCC wawajengea uwezo Wajasiriamali
Ziara ya Rais Samia Urusi yaleta fursa mpya
Msigwa:Kiwango uchumi wa kujitegemea kimeongezeka nchini