Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Leo Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellqh Kairuki, amekutana na Bilionea wa Nchini Marekani Paul Tudor Jones ambaye pamoja na kuwekeza sekta ya hoteli na uhifadhi katika eneo la Grumeti, Serengeti hapa nchini ikiwa ni eneo pekee la Afrika linalotembelewa na mastaa wengi wa Marekani wakiwa nchini, pia ni mhifadhi muhimu anayeshirikiana na Serikali kuitangaza nchi.




More Stories
Tucta kuzindua kituo cha msaada kwa wafanyakazi wahamiaji Juni 11
Wanasiasa washauriwa kujikita kwenye masuala ya maendeleo
Watakiwa kuimarisha huduma za ushauri vyuoni