Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Bw.Wasia Mushi  akifungua warsha ya mafunzo ya kibiashara kwa wateja  wa biashara za kati (SME) wa benki hiyo iliyofanyika jijini Dar es SalaamMmoja kati ya washiriki wa warsha akipokea vyeti kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo,Bw.Wasia Mushi Washiriki wa warsha katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa benki hiyo ,Bw. Wasia Mushi (katikati)
More Stories
Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti 2025
Benki ya Exim yakabidhi madarasa kwa shule mbili za sekondari Kigoma
Mwenendo Soko la Hisa, wengi wavutiwa kuwekeza katika Bondi