Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online,Zanzibar
WANAWAKE Wahasibu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wameshiriki kongamano la kitaaluma la wanawake wahasibu linalofanyika katika hotel ya Verde Zanzibar.

Kongamano hilo la nne limefunguliwa jana na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Hemed Suleiman Abdallah akimwakilisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ally Hassan Mwinyi.
TANESCO imefadhili kongamano hilo lengo likiwa ni kuwakutanisha wahasabu wanawake wa TANESCO na wataalamu wengine wa kada hiyo kutokana na makongamano kuwa sehemu mahususi ya kuzungumzia masuala ya kada ya husika.

 Â

More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8