Na mwandishi wetu,TimesMajira Online
Kuelekea siku ya Wanawake dunia, baadhi ya Wanawake wafanya kazi wa bandari kushirikiana na wadau mbali mbali wametoa Millioni 29 kwa magereza ya Wanawake segerea pamoja na mahabusu ya watoto iliyopo upanga wakiwa na lengo la kuigusa jamii yenye mahitaji kabla ya kilele cha siku ya Wanawake.




More Stories
EWURA yaombwa kuongeza elimu kuhusu nishati safi ya kupikia
Wizata ya Viwanda yapongezezwa kasi mageuzi kiuchumi
Wataslam Mifumo ya NeST wanolewa