
wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango wa kugawa mbolea bure kwa wakulima ujulikanao kama “Action Africa”. Zaidi ya tani 12,500 zenye thamani ya sh. bilioni 16.5 zitagawiwa kwa wakulima 83,000, nchi nzima.
Mpango huo umezinduliwa leo na Waziri Hasunga Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mbolea ya YARA Tanzania, Winstone Odhiambo. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali, Mstaafu Nicodemus Mwangela. Na Mpiga picha Wetu.
More Stories
Mpina,Maganga kuendelea kuwafichua viongozi mafisadi na wabadhilifu
Wakazi Mahomanyika wamlilia Rais Samia kuingilia kati mgogoro wa ardhi
Dar kufanya kongamano maalum kuelekea maadhimisho ya siku ya Mwanamke Dunia