Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga (wa pili kushoto) akimkabidhi mbolea mmoja wa wakulima wa Kata ya Mlowo mkoani Songwe, Issa Ngoiwakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango wa kugawa mbolea bure kwa wakulima ujulikanao kama “Action Africa”. Zaidi ya tani 12,500 zenye thamani ya sh. bilioni 16.5 zitagawiwa kwa wakulima 83,000, nchi nzima.Mpango huo umezinduliwa leo na Waziri Hasunga Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mbolea ya YARA Tanzania, Winstone Odhiambo. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali, Mstaafu Nicodemus Mwangela. Na Mpiga picha Wetu. Post Views: 1,774 Continue Reading Previous Bodi ya Kahawa yatambua mchango wa Prof. KamuzoraNext Polisi yawashikilia Sungusungu waliochoma vibanda vya wavuvi, wakulima More Stories Habari Mikoani Wanachi wahimizwa kusajili biashara,majina ya kampuni BRELA February 1, 2025 joyce kasiki Habari Kitaifa Bunge lapitisha muswada wa Sheria za kazi,wanaojifungua watoto njiti waongezwa likizo ya uzazi February 1, 2025 joyce kasiki Habari GreenFaith yatoa mapendekezo yake mkutano wa mission 300 kwa Wakuu wa nchi,Serikali za Afrika January 31, 2025 Penina Malundo
More Stories
Wanachi wahimizwa kusajili biashara,majina ya kampuni BRELA
Bunge lapitisha muswada wa Sheria za kazi,wanaojifungua watoto njiti waongezwa likizo ya uzazi
GreenFaith yatoa mapendekezo yake mkutano wa mission 300 kwa Wakuu wa nchi,Serikali za Afrika