Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga (wa pili kushoto) akimkabidhi mbolea mmoja wa wakulima wa Kata ya Mlowo mkoani Songwe, Issa Ngoiwakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango wa kugawa mbolea bure kwa wakulima ujulikanao kama “Action Africa”. Zaidi ya tani 12,500 zenye thamani ya sh. bilioni 16.5 zitagawiwa kwa wakulima 83,000, nchi nzima.Mpango huo umezinduliwa leo na Waziri Hasunga Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mbolea ya YARA Tanzania, Winstone Odhiambo. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali, Mstaafu Nicodemus Mwangela. Na Mpiga picha Wetu. Post Views: 1,389 Continue Reading Previous Bodi ya Kahawa yatambua mchango wa Prof. KamuzoraNext Polisi yawashikilia Sungusungu waliochoma vibanda vya wavuvi, wakulima More Stories 2 min read Habari Mahundi atoa msaada kwa waathirika wa maporomoko mlima Kawetele April 17, 2024 zena chitwanga 2 min read Habari Prof.Kitila:Miaka 60 ya muungano nchi inajivunia kutatua changamoto zilizojitokeza April 17, 2024 zena chitwanga 3 min read Habari Aweso:Fedha za miradi ya maji zisiliwe mbichi April 17, 2024 Judith Ferdnand
More Stories
Mahundi atoa msaada kwa waathirika wa maporomoko mlima Kawetele
Prof.Kitila:Miaka 60 ya muungano nchi inajivunia kutatua changamoto zilizojitokeza
Aweso:Fedha za miradi ya maji zisiliwe mbichi