Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof.Faustin Kamuzora,(katikati), akikabidhiwa na viongozi wa Bodi ya Kahawa mashine ya kisasa ya kutayarisha kinywaji cha kahawa iliyokaangwa na kusagwa (Roasted and Ground) kama alama ya kutambua mchango wake wa kuwahimiza Watanzania kufahamu faida za kiafya na kutumia kahawa tunayoizalisha nchini. Kushoto ni afisa mauzo ya nje, Fatu kubonye na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa, Prof. Jamal Adam. Post Views: 1,413 Continue Reading Previous ‘Learn Basketball Skills With ZYBA’ kuhitimishwa OktobaNext Uzinduzi wa mpango wa kugawa mbolea bure kwa wakulima katika picha More Stories 3 min read Habari Vijiji vya Majani Mapana na Kwamwazala kupata maji ya uhakika April 18, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari Zeche aikimbia CHADEMA ahamia CCM April 18, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari DC Mpogolo awataka walimu wakuu kutoa taarifa za walimu wenye maadili mabovu April 18, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Vijiji vya Majani Mapana na Kwamwazala kupata maji ya uhakika
Zeche aikimbia CHADEMA ahamia CCM
DC Mpogolo awataka walimu wakuu kutoa taarifa za walimu wenye maadili mabovu