Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline
,Dodoma
VYAMA ambavyo wagombea wake watachukua Fomu za kugombea Urais vimeongezeka,Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC) imetoa ratiba mpya.
Kwa mujibu wa INEC imetaja vyama vilivyoongezeka kuwa ni SAU,UDP,CUF na ACT WAZALENDO.
Post Views: 429
More Stories
Milioni 299 kutumika kujenga ofisi za kata
Mtanda asisitiza matumizi ya takwimu serikalini
Maofisa Habari watakiwa kuhabarisha taarifa sahihi