Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline
,Dodoma
VYAMA ambavyo wagombea wake watachukua Fomu za kugombea Urais vimeongezeka,Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC) imetoa ratiba mpya.
Kwa mujibu wa INEC imetaja vyama vilivyoongezeka kuwa ni SAU,UDP,CUF na ACT WAZALENDO.
Post Views: 456
More Stories
Chatanda ahamasisha utekelezaji wa Ilani ya CCM 2025–2030
Mikopo asilimia 10 yainua wanawake Tunduma kibiashara
UDSM yabuni bidhaa kwa nazao ya nyuki