



Na Mwandishi Wetu,Dodoma
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo na Muhimbili (MOI) imetii agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuendelea kutoa huduma za kibingwa na kibobezi kwenye Maonesho ya Nanenane, Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, hadi Agosti 10, 2025.
Awali, huduma hizo zilipangwa kuhitimishwa tarehe 8 Agosti 2025, lakini kufuatia agizo la Rais, MOI itaendelea kuhudumia wananchi kwa siku mbili zaidi ili kuhakikisha watu wengi zaidi wananufaika na huduma hizo muhimu

More Stories
Ndoto zilizovunjika: Jinsi mimba za utotoni zinavyowakatisha Wasichana Elimu Nchini Rwanda,Tanzania na Sudan Kusini
Miaka 50 ya Sabasaba Vodacom yadhihirisha kuchochea mageuzi ya kidigital nchini
Milioni 750 kukamilisha kituo cha afya