May 7, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

TCD yawakutanisha Viongozi wa vyama vya Siasa Zanzibar

Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Leo tarehe 20 Machi 2023 TCD imekutanisha viongozi wa vyama vya Siasa Wilaya ya Mjini, Zanzibar katika uzinduzi wa Jukwaa la Majadiliano ngazi ya Wilaya.

Vyama hivyo ni CCM, CHADEMA, CUF, ACT- Wazalendo na NCCR MAGEUZI.

Salamu za Ufunguzi zimetolewa na Mhe. Mbarouk Seif Salimu Naibu Katibu Mkuu CUF na Mussa Shehe kutoka Ubalozi wa Marekani.