Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Leo tarehe 20 Machi 2023 TCD imekutanisha viongozi wa vyama vya Siasa Wilaya ya Mjini, Zanzibar katika uzinduzi wa Jukwaa la Majadiliano ngazi ya Wilaya.
Vyama hivyo ni CCM, CHADEMA, CUF, ACT- Wazalendo na NCCR MAGEUZI.

Salamu za Ufunguzi zimetolewa na Mhe. Mbarouk Seif Salimu Naibu Katibu Mkuu CUF na Mussa Shehe kutoka Ubalozi wa Marekani.

More Stories
AUWSA yazipatia maji kaya 6000 za kipato cha chini
Daraja la mto Kagatende Suluhisho la Kudumu Utalii na Uhifadhi Serengeti
Mkemia Mkuu:Tumedhibiti uingizaji na usafirishaji kemikali hatarishi nchini