Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Leo tarehe 20 Machi 2023 TCD imekutanisha viongozi wa vyama vya Siasa Wilaya ya Mjini, Zanzibar katika uzinduzi wa Jukwaa la Majadiliano ngazi ya Wilaya.
Vyama hivyo ni CCM, CHADEMA, CUF, ACT- Wazalendo na NCCR MAGEUZI.
Salamu za Ufunguzi zimetolewa na Mhe. Mbarouk Seif Salimu Naibu Katibu Mkuu CUF na Mussa Shehe kutoka Ubalozi wa Marekani.
More Stories
Waumini Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki wamlilia Rais Dkt.Samia
Waumini K.K.A.M watoa kilio chao kwa Rais Samia
PPAA yazuia zabuni zenye thamani ya bilioni 583