Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Leo tarehe 20 Machi 2023 TCD imekutanisha viongozi wa vyama vya Siasa Wilaya ya Mjini, Zanzibar katika uzinduzi wa Jukwaa la Majadiliano ngazi ya Wilaya.
Vyama hivyo ni CCM, CHADEMA, CUF, ACT- Wazalendo na NCCR MAGEUZI.

Salamu za Ufunguzi zimetolewa na Mhe. Mbarouk Seif Salimu Naibu Katibu Mkuu CUF na Mussa Shehe kutoka Ubalozi wa Marekani.

More Stories
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Naibu Waziri Nderiananga awasilisha salamu za pole msiba wa mdogo wake Lukuvi
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni