Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Shirika la Kuendeleza Kilimo Hai Tanzania (TOAM) na Mamlaka ya Uwekezaji Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), wanaongoza ujumbe wa kibiashara katika maonesho ya kimataifa ya biashara ya bidhaa za kilimo hai (BIOFACH 2026) wakiongozwa na mkakati wa Taifa wa Kilimo Ikolojia Hai (NEOAS 2023.2030) na kuendana na ajenda 2030.


More Stories
Wizara,TPSF kuongeza ushiriki kongamano la kiswahili
Prof.Mbawara:TMA yakamilisha ufungaji wa mitambo miwili ya uangazi wa hali ya hewaÂ
PBPA yapongezwa kwa usimamizi wa upatikanaji wa Mafuta nchini