Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Shirika la Kuendeleza Kilimo Hai Tanzania (TOAM) na Mamlaka ya Uwekezaji Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), wanaongoza ujumbe wa kibiashara katika maonesho ya kimataifa ya biashara ya bidhaa za kilimo hai (BIOFACH 2026) wakiongozwa na mkakati wa Taifa wa Kilimo Ikolojia Hai (NEOAS 2023.2030) na kuendana na ajenda 2030.


More Stories
Milioni 299 kutumika kujenga ofisi za kata
Mtanda asisitiza matumizi ya takwimu serikalini
Maofisa Habari watakiwa kuhabarisha taarifa sahihi