Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),Lazaro Twange, leo Januari 21, 2026 amewasilisha Taarifa ya Taasisi mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini jijini Dodoma.
Kamati hiyo ilipata fursa ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya Nishati na utekelezaji wa Majukumu ya TANESCO




More Stories
Mabasi ya umeme Zanzibar kutumia malipo kidijitali
GGML kuimarisha ushiriki wa watanzania sekta ya madini
Elimu usalama barabarani yatolewa kwa askari wa JWTZ