Na Mwandishi Wetu
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Mbagala Shija Richard amechukua fomu ya kuwania kiti hicho.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Temeke Richard alisema lengo kuu ni kushirikiana na wana-Mbagala katika kuwaletea maendeleo .
Amesema kuwa anahitaji kushirikiana Serikali ya Awamu ya Tano katika kuleta maendeleo kwa wana Mbagala na taifa kwa ujumla.
Richard alisema pia atahakikisha anaisimamia ilani ya chama cha Mapinduzi katika utekelezaji.

More Stories
WRRB Yapongezwa kwa Maandalizi ya Mnada wa Mifugo
DC Tabora, kigoma waitaka ewura ihamasishe wananchi
Tusumuke Group yaonyesha teknolojia bora za kuku